Joseph Selasini (CHADEMA) Aimwagia Sifa Serikali....Wabunge CCM Walipuka kwa Shwangwe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Pongezi kwa Serikali  zilizotolewa na mbunge wa Rombo (Chadema), Joseph Selasini bungeni mjini Dodoma zimeibua shangwe kutoka kwa wabunge wa CCM.

Mbunge huyo ambaye hivi karibuni alijiuzulu kuwa  kaimu mnadhimu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, ameipongeza Serikali leo Jumanne Januari 28, 2020 alipokuwa akiuliza swali  la nyongeza kuhusu upatikanaji wa maji wilayani Rombo.

Selasini amesema hivi sasa katika jimbo lake maji yanatokana hivyo akaishukuru Serikali.

"Kwa awamu zote za Serikali na wabunge walionitangulia wamekuwa wakitaka ziwa Kyara litumike kama chanzo cha maji lakini haikuwezekana, lakini Serikali hii naipongeza imewezesha," amesema Selasini.

Awali,  naibu Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema Serikali imepanga kutumia chanzo cha maji cha ziwa Kyara kufikisha maji Rombo, kwa kuanza  inapeleka Sh1.5 bilioni.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad