PADRI Aliyefungasha Ndoa ya Stamina Afunguka "Wasije Wakaanzisha Mahusiano Mengine Kwani Watatenda Dhambi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


PADRI wa Kanisa Katoliki, Dk Bernard Msike ambaye aliwafungisha ndoa staa wa Hip Hop, Bonaventure Kabogo ‘Stamina’ na mkewe Veronica Peter katika Kanisa la Mt. Maria Consolata mkoani Morogoro, amewaita wanandoa hao kanisani kwa ajili ya usuluhishi.

Padri huyo aliwafungisha ndoa hiyo Mei, 2018 ambayo imedumu kwa takriban mwaka mmoja na miezi kadhaa kisha kumwagana na kuzua gumzo kama lote mitandaoni wiki iliyopita.

Padri huyo alisema atawaita wawili hao kanisani kwa ajili ya usuluhishi kwani kanisa bado linaitambua ndoa yao. “Niwaase tu katika kipindi hiki wasije wakaanzisha mahusiano mapya maana watakuwa wanatenda dhambi. Kanisa Katoliki linaitambua ndoa ya mwanaume na mwanamke mmoja tu mpaka kifo kitakapowatenganisha,” alisema.

Stamina na mkewe wameachana na mkali huyo kutoa wimbo wa Asiwaze ambao unatajwa kuwa amemsema mkewe huyo. Sababu kubwa inayotajwa katika kuachana kwa wawili hao ni usaliti
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad