Tahadhari ya Hali Mbaya ya HEWA na Mafuriko Yatolewa Uingereza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mamlaka za Uingereza zimetoa tahadhari za mafuriko kwa siku zijazo kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika baadhi ya maeneo

Katibu wa Mazingira, George Eustice amesema japokuwa hawawezi kumuokoa kila mtu, Serikali imewekeza mabilioni ya pesa katika miundombinu ili kukabiliana na mafuriko hayo

Mvua hizo ambazo zimesababishwa na Kimbunga Dennis zimedumu kwa takriban saa 48, zikiwa zimeambatana na upepo mkali

Japokuwa hatari ya Kimbunga hicho imepita, Wataalamu wameonya kuwa huenda hali ya mvua na upepo ikaendelea wiki hii

Kimbunga Dennis kimekuja takriban wiki moja baada ya Kimbunga Ciara kuleta madhara makubwa katika baadhi ya maeneo ya Uingereza
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad