AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mamlaka za Uingereza zimetoa tahadhari za mafuriko kwa siku zijazo kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika baadhi ya maeneo
Katibu wa Mazingira, George Eustice amesema japokuwa hawawezi kumuokoa kila mtu, Serikali imewekeza mabilioni ya pesa katika miundombinu ili kukabiliana na mafuriko hayo
Mvua hizo ambazo zimesababishwa na Kimbunga Dennis zimedumu kwa takriban saa 48, zikiwa zimeambatana na upepo mkali
Japokuwa hatari ya Kimbunga hicho imepita, Wataalamu wameonya kuwa huenda hali ya mvua na upepo ikaendelea wiki hii
Kimbunga Dennis kimekuja takriban wiki moja baada ya Kimbunga Ciara kuleta madhara makubwa katika baadhi ya maeneo ya Uingereza
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK