Tattoo ya MACHO Yamtokea Puani Mrembo Huyu..Sasa Kuwa Kipofu Maisha yake Yote....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Pichani mrembo huyo wa nchini Poland kwa jina la Aleksandra Sadowsk(25) amekuwa kipofu kabisa jicho lake la kulia huku siku si nyingi jicho lake la kushoto pia litapofuka. Sababu hasa ya kupofuka ni mwanamitindo huyo kwenda kwa mchora tattoo ili kujiongezea urembo kubadilishwa macho yake yawe meusi kama macho ya Popek msanii wa hip hop nchini humo ambaye pia alienda kwa mchora tattoo

Mrembo huyo amesema mchora tattoo husika kwa jina la Piotr A alipoanza kuyabadilisha macho yake hayo alianza kusikia maumivu makali lakini akamwambia ni kawaida. -

Hata hivyo uchunguzi umegundua kuwa mchoraji tattoo huyo alikosea wakati akimshuhulikia. Madaktari wamesema macho ya mrembo huyo hayawezi tena kurudishwa uwezo wake ili apate kuona. Mrembo huyo amesema haamini kuwa hataona tena Ila amesema hana jinsi inabidi maisha yaendelee
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad