AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mrembo huyo amesema mchora tattoo husika kwa jina la Piotr A alipoanza kuyabadilisha macho yake hayo alianza kusikia maumivu makali lakini akamwambia ni kawaida. -
Hata hivyo uchunguzi umegundua kuwa mchoraji tattoo huyo alikosea wakati akimshuhulikia. Madaktari wamesema macho ya mrembo huyo hayawezi tena kurudishwa uwezo wake ili apate kuona. Mrembo huyo amesema haamini kuwa hataona tena Ila amesema hana jinsi inabidi maisha yaendelee
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK