Diamond Aeleza Mbona Gari la Tanasha Linamilikiwa na Mama Dangote

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kuna wasiokuwa na soni wala utu. Msanii wa Bongo Diamond Platinumz amewahamakisha wanamitandao baada ya kusema kwamba gari alililomkabidhi Tanasha Donna kama zawadi yake ya Birthday  halikuwa lake(Tanasha) kuanzia mwanzo .

 Wakati wa birthday hiyo ya Tanasha, Dimond aliutangazia  ulimwengu mzima na kila mtu aliyetaka kujua jinsi anavyompenda Tanasha na kumpa zawadi hiyo kubwa  na pia akamkabidhi mamake  Sandra Kassim gari kama hilo. Lakini sasa inaibuka kwamba gari hilo halikuwa  la Donna bali lilimilikiwa na Sandra . Majivuno yote hayo yalikuwa tu ya kupiga show off .

 Leo mama Dangote ameamua kulipepeza gari hilo kwa msururu wa picha alizoweka mtandaoni . Mashabiki wamhoji mbona anafunika nambari ya usajili iwapo gari hilo ndilo lake. Alichofanya Sandra ni kutupa jumbe za vijembe na kejeli tazama ;


Diamond naye  aliwachemsha sana watu kwa kuthibitisha fununu hizo kwa kuandika hivi katika ujumbe wa mamake;

 “KULA MAISHA MAMAANGU, UMEPATA TABU SANA KUNILEA HADI LEO KUFIKA HAPA…FURAHA YANGU NI KUONA UNAFURAHI  

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad