Wanajeshi Wanawake Kuruhusiwa Kuvaa Ushungi Wakiwa Kazini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Jeshi la Ulinzi la Afrika kusini (SANDF) limetoa taarifa kwamba litatoa ruhusa kwa wanajeshi wanawake ambao ni waumini wa dini ya kiislamu kuvaa ushungi kichwani.

Kwa mujibu wa vyanzo vya habari vya nchi hio uamuzi huo kutoa uhuru kwa wanajeshi waislamu kuvaa ushungi wakiwa katika mavazi yao rasmi umefuatia mazungumzo baina ya jeshi hilo na baraza la waislamu la Afrika kusini (MJC).

Uamuzi huo unatarajiwa kuanza kutumika mara baada ya wizara husika kuupitisha rasmi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad