Wakati Nchi Nyingine Zikisita Kutekeleza Adhabu ya Kunyongwa, Botswana Yaua Watu Wanne Kisheria

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Botswana, ni moja kati ya nchi za kidemokrasia zinazoendeleza adhabu ya kifo. Machi 28, 2020, Moabi Seabelo Mabiletsa (33) na Matshidiso Tshid Boikanyo (39) walinyongwa hadi kufa katika mji mkuu wa Botswana, Gaborone

Wawili hao walimuua dereva wa taksi miaka sita iliyopita. Kabla ya hawa kuna mwingine alinyongwa mwezi Februari na mwingine mwezi Desemba mwaka jana. Hii ndio nchi pekee kusini mwa Afrika inayotekeleza adhabu ya kunyongwa

Hii inafanya jumla ya watu wanne kuwa wamenyongwa tangu rais Mokgweetsi Masisi achaguliwe kuingia madarakani Aprili 1, 2018. Adhabu ya kifo ipo kisheria tangu walipopata uhuru wao toka kwa Uingereza mwaka 1966

Kwa mujibu wa Amnesty International, nchi 195 duniani zimefuta adhabu ya kifo au wameacha kuzitekeleza kwa zaidi ya miaka kumi iliyopita
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad