AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Singida, Bwana Shabani Limu pamoja na viongozi wengine wawili wa chama hicho wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Bwana Limu ambaye ameshika nafasi mbali mbali katika Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa kipindi cha takribani miaka 28 sasa ameamua kukihama chama hicho baada ya kuridhishwa na utendaji wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli na kuondoka na viongozi wengine wa chama hicho akiwemo aliyekuwa Mjumbe wa Bavicha wilaya ya Singida mjini na Katibu wa Bavicha wa Kata ya Unyamikumbi, Bwana Athanasy Ngaa na Mwenyekiti wa Baraza la wazee wa Chadema Kata ya Kinyeto,Bwana Issa Nkungu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mwee.. Saccozi Pwaaa..pwa pwa Pwaaaaaa
ReplyDeleteNani atakuwa waMwisho kufunga Mlango..?