Rais wa Zambia Atoa Amri ya Kufunga mpaka wa Tanzania na Zambia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Leo tarehe 10/05/2020 Rais wa Zambia Edgar Chagwa lungu ametoa amri ya kufunga mpaka wa Zambia na Tanzania (Nakonde) na kupiga marufuku mtu yeyote pamoja na magari au treni kuingia na kutoka Mji wa nakonde.

Mji wa nakonde umepakana na mji wa tunduma ambapo ndo mpaka wa Tanzania na zambia ulipo.

Raisi Lungu amefikia maamuzi hayo baada upimaji wa Covid-19 uliofanyika juzi na kungundua watu 76 wana maambukizi ya virusi vya Corona katika mji wa Nakonde. Hiyo idadi imejumuisha wafanyakazi wa mpakani, afisa uhamiaji, wafanyakazi wa lodge na madereva wa kitanzania (18).
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad