Shilole Acharuka "Nani Asiyejua Uchebe ni MUME Wangu..Alafu Nikukute Nae Sijui Utaniambia Nini Nakupasua Koromeo"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii na mfanyabiashara maarufu hapa nchini Shilole, ametoa onyo kwa mwanamke yeyote ambaye atamkuta na mume wake Uchebe kwa kusema ataua mtu.


Ameeleza hayo kwenye show ya Planet Bongo ya East Africa Radio, wakati akitambulisha wimbo wake mpya na kusema cha msingi ni kuvumiliana kwenye shida na raha, ila endapo akijua kama ana mwanamke mwingine ataua na kila abiria achunge mzigo wake.

"Tutatafutana Jerusalem sisemi uongo na raundi hii nikijua naua Magufuli atakuja kunitoa, sina asilimia 100 kama ananisaliti au hanisaliti kwa sababu yule ni mwanaume kama wanaume wengine, kama anafanya mambo yake afanye ila mimi nisijue, kwani nani asiyejua kwamba Shilole mumewe ni Uchebe, halafu ndiyo nikukute naye sijui utaniambia nini nakupasua koromeo, abiria chunga mzigo wako" ameeleza Shilole.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad