Shirika la ndege la Qatar kuanza safari Nchini Tanzania




Shirika la Ndege la Qatar limetangaza kurejesha safari za ndege nchini Tanzania kuanzia Juni 16, baada ya miezi miwili kupita tangu shirika hilo lilipotangaza kusimamisha safari kutokana na janga la COVID-19.

______

Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA



 
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad