TAKUKURU Yakanusha Kumshikilia na Kumhoji Gambo

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa



TAKUKURU imekanusha taarifa za kumshikilia na kumhoji aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo kuhojiwa na TAKUKURU akituhumiwa kugawa rushwa kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM ktk Jimbo la Arusha wanaohusika kupitisha jina la mgombea wa Ubunge

_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad