AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa mwili wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Hayati Benjamin Mkapa utaagwa kwa siku tatu mfululizo kuanzia Julai 26-28 Jijini DSM, na utazikwa siku ya Jumatano katika Kijiji cha Lupaso mkoani Mtwara.
“Mwili wa Mzee Mkapa utazikwa kijijini kwao Lupaso,Masasi Mkoani Mtwara Jumatano ya wiki ijayo July 29,2020 saa nane mchana, mwili utasafirishwa kwa Ndege Jumanne July 28 mchana baada ya kuagwa DSM, utatua Uwanja wa Nachingwea,Lindi kisha kuelekea Masasi”-MAJALIWA
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK