Kanye West Njia Panda Kwenye Mbio za Kuutaka Urais wa Marekani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ukiacha tweets zake ambazo zimejaa ukakasi kuhusu familia yake na mambo kadhaa anayoandika, Kanye West bado yupo njia panda kwenye mbio zake za kuutaka Urais wa Marekani mwaka huu.

Kupitia twitter, Yeezy ameandika kwamba anafikiria kugombea mwaka 2024, na kuacha tafakuri kwamba anahisi watu weusi nchini Marekani watampigia kura Joe Biden? Hivyo aendelee kugombea au aache? Ni swali la mwisho ambalo aliliacha Kanye.

Wakati Kanye ametangaza kugombea Urais, wengi wenye uelewa wa upepo wa siasa walitoa maoni ya kwamba, Kanye ametumwa kutengeneza mazingira ya Trump kushinda kwa sababu atazigawa kura za Biden ambaye pia anatajwa kuja kuzizoa kura za watu weusi
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad