Alichokisema Haji Manara, Senzo Kwenda Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



BAADA ya Senzo Masingiza aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Simba kujiuzulu ndani ya klabu hiyo huku ikielezwa kuwa amepata kazi ndani ya Yanga uongozi wa Simba umesema kuwa Simba ni klabu kubwa.


 


Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Haji Manara ameandika:” kwa hiyo mzunguko wa dunia umesimama siyo? Simba ni huge Club (klabu kubwa) our hope (matumaini yetu) kesho Senzo utakuja kukabidhi ofisi na nyaraka zetu kama utaratibu unavyosema. Kifuatacho.


Sababu kubwa inayotajwa kwa Senzo kubwaga manyanga ni kutokana na suala la usajili wa Bernard Morrison ambaye alitangazwa jana kuibukia ndani ya Simba akitokea Yanga.


Inaelezwa kuwa Morrison hakuwa chaguo la Senzo kusajiliwa kwake kumefanya akasirike na kujiweka pembeni.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad