Harmonize Ataweza Kweli Kumfunika Diamond Platnumz Siku ya Wananchi?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


STAA wa Bongo Fleva, Rajab Abdul Kahali ‘Harmonize’ amemlipa aliyekuwa bosi wake Nasibu Abdul ‘Diamond’ baada ya juzi Jumatatu kuachia wimbo maalum wa klabu ya Yanga ukiwa na mahadhi ya Singeli.

Harmonize ametunga wimbo huo ukiwa maalum kwa ajili ya Yanga kuelekea kilele cha Wiki ya Mwananchi ikiwa ni siku chache baada ya Diamond kutoa wimbo wa Simba ambao aliupafomu katika kilele cha Simba Day.

Hadi kufikia jana Jumanne wimbo huo wa Harmonize ulikuwa namba saba kwenye video ‘zilizo-trend’ katika mtandao wa YouTube huku ukiwa na watazamaji 132,422 baada ya kupostiwa Agosti 24.

SWALI NI JE? ATAWEZA KUMFUNIKA KWA SHOW KUBWA ALIYOIFANYA SIMBA DAY??
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad