Molinga wa Yanga amsifia Manara, Unajua sana kubrand wachezaji, natamani nifanye kazi na wewe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ujumbe wa aliyewahi kuwa mchezaji wa yanga ambaye ni raia wa Congo na tayari ametemana na Yanga David Molinga Falcao kupitia ukurasa wake wa instagram.

“Siku zote nitakuwa na kumbuka tanzania asilimia kubwa sababu yako bro,uwezo ya brand team na wachezaji ndio kitu inanipa furaha sana natamani siku moja nifanye kazi na ww sabab unajua maana ya kuwa speakman ya team sio kwamba unaongea tu ila kila mara nilikuwa nakuangalia unaongea pointi tu i mean unajua mpira san bravo bro i proud of you popote nitakwepo nitakukumbuka daima @hajismanara“
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad