AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ujumbe wa aliyewahi kuwa mchezaji wa yanga ambaye ni raia wa Congo na tayari ametemana na Yanga David Molinga Falcao kupitia ukurasa wake wa instagram.
“Siku zote nitakuwa na kumbuka tanzania asilimia kubwa sababu yako bro,uwezo ya brand team na wachezaji ndio kitu inanipa furaha sana natamani siku moja nifanye kazi na ww sabab unajua maana ya kuwa speakman ya team sio kwamba unaongea tu ila kila mara nilikuwa nakuangalia unaongea pointi tu i mean unajua mpira san bravo bro i proud of you popote nitakwepo nitakukumbuka daima @hajismanara“
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK