AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
HAITHAM Kim ni moja kati ya wasanii wanaokuja kwa kasi kunako anga la Bongo Fleva, amefanya vizuri kupitia ngoma zake kama Ananichora, Yaishe na Nionyeshe.
Risasi Jumamosi limezungumza naye, ambapo pamoja na mambo mengine, amezungumzia suala la yeye kujihusisha na uuzaji wa mwili wake (kudanga)
Risasi: Umeshawahi kudanga?
Haitham: Ndiyo, nimeshawahi kudanga kabla sijaolewa.
Risasi: Changamoto gani ambazo ulizipitia kipindi unadanga?
Haitham: Yaani unakuta unaenda na mtu mnakubaliana kiasi fl’ani, ikifika asubuhi kakukimbia au anakuambia ngoja niende Bank nakurudia, lakini harudi, jambo lingine unaweza ukakopwa na usilipwe. Kwa hiyo, hayo mambo yapo na nilikuwa napitia wakati mgumu sana.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK