Picha 7 za Mwanadamu Chafu Zaidi Duniani, Hajaoga kwa Miaka 65

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mzee huyo ni raia wa Iran, jina lake ni Amou Haji

Haji anaeleza kuwa alioga mara ya mwisho zaidi miaka sitini iliyopita

Haji huamini kuwa chakula safi, na kuoga ni hatari kwa maisha ya binadamu

Je umewahi kukaa kwa zaidi ya siku tatu bila kuoga hali ikawa shwari tu? Kwa Amou Haji raia wa Iran, kuoga ni ndoto tu.

Kulingana na ripoti iliyotolewa 2015 haswa baada ya kuhojiwa na jarida la Tehren Times, Haji ndiye amevunja rekodi kuwa mwanadamu chafu zaidi ulimwenguni.

Imebainika kuwa Haji ambaye sasa ana umri wa miaka 85 hajaoga kwa zaidi ya miaka 65. Kulingana naye hana tatizo lolote, kuoga ndiko humpa matatizo..

Haji huamini kuwa kuoga na kula vyakula safi ni njia mojawapo ya kujisababishia magonjwa, kando na hivyo kila anapofikiri kuhusu kuoga, anapatwa na hasira isiyo ya kawaida.

Bwana huyo hunywa zaidi ya lita tano ya maji kila siku, hula vyakula vilivyovunda, mabaki ya wanyama waliokufa na huvuta sigara.

Hizi ni baadhi ya picha zake:


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad