Rais Magufuli Amlilia Dkt. Kisanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesikitishwa na kifo cha Rais wa Chama cha Waimbaji wa nyinmbo za Injili, Dkt. Donald Kisanga ambaye amefariki dunia leo akielekea kwenye kugombea ubunge wa UVCCM, Dodoma.


“Nimesikitishwa na taarifa za kifo cha ghafla cha Rais wa Chama cha Wanamuziki wa Injili Tanzania, Dkt. Donald Kisanga aliyefariki dunia kwa ajali ya gari Jijini Dodoma. Mungu amweke mahali pema peponi, Amina.” – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad