AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kipindi cha Musa wana wa Israeli walisafiri toka Misri kwa miaka arobaini(40).
Kipindi cha Nuhu mvua ilinyesha siku arobaini(40).
Yesu alifunga miaka siku(40).
Goliati aliwapiga wana wa Israeli kwa siku arobaini (40) kabla hajauwawa na Daudi.
Musa alipanda mlimani kupewa amri kumi za Mungu kwa siku arobaini(40).
Mtu akifa kunakuwa na arobaini yaani siku arobaini baada ya kufa(40).
Mtoto akizaliwa anatolewa nje baada ya siku arobaini(40).
Hata mwizi zake ni arobaini(40)
- Na mengine mengi yanayoihusu namba arobaini (40)
Wale wataalamu wa kusoma namba naombeni msaada wenu kuhusu hii namba.
Cc: Mshana Jr
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK