Uchebe Amenipiga Mara 26, na Kipigo si Chanzo Cha Kuachana Naye- Shilole

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



"Kupigwa na wanaume sijaanza leo, tangu mwanaume wa kwanza aliyenioa nikiwa na umri wa miaka 18 alikuwa ananinyanyasa na kunipiga sana, ila kipindi hiki cha Uchebe imekuwa 'too much'.


Uchebe amenipiga mara 26, tangu anioe, siku ya kwanza nilikuwa na-shoot na akina Soud Brown, akachukia akaenda nyumbani nilipofika tu akanipokea kwa makofi.


Siku nyingine amepigiga nimechelewa kurudi kutoka kwenye msiba wa Ruge, nilipofika getini tu akanipokea kwa kipigi, nilipigwa mpaka mbwa akaamka.


Siku nyingine alikuta nimekaa hapa ShishiFood na wateja, akaniita nikachezea kipigo, akanimwagia chell souse akaondoka.


Uchebebe anatumia mwamvuli wa dini kufanya maovu, ni mnafiki." Amefunguka Shilole
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad