Wajawazito ruksa kurudi shuleni Zimbabwe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa ametia saini Sheria mpya ambayo inapiga marufuku wanafunzi wa kike wanaopata mimba kufukuzwa shule kwenye shule za Serikali na badala yake wanatakiwa kuendelea na masomo ikiwa tu afya zao zinawaruhusu.

Kabla ya kupitishwa kwa Sheria hii mpya Zimbabwe, wanafunzi wa kike walikuwa wanafukuzwa shule pindi wanapobeba mimba huku wanafunzi wa kiume ambao waliwapa mimba wakiendelea na masomo.

Sheria hiyo mpya inazuia pia adhabu kali zinazotolewa na walimu kwa wanafunzi wao mashuleni.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad