Wakina Dada Mnaohudumia Saloon za Kiume Punguzeni Kidogo...Wengine Tuna Wake Nyumbani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wakina Dada Mnaohudumia Saloon za Kiume Punguzeni Kidogo...Wengine Tuna Wake Nyumbani

Wakina Dada Mnaohudumia Saloon za Kiume Punguzeni Kidogo...Wengine Tuna Wake Nyumbani


Hakika nawaambieni sisi wanaume kwa hizi Barbershop kuzikimbia inataka kama kuwa ngumu hivi?

Kwanza hawa kina dada wa Saloon za kiume wameteka sana soko then wanapenda sana Tip. Yaani imekuwa kama lazima kumbe ni hiari ya mtolewa huduma.

Halafu hawa Dada wajanja sana akitaka kukuhudumia mfano scrub anakufungua vishkizo vya juu then anapitisha mikono yake kifuani huku anakuburuzia na kucha zake ndefu kwa Nippon zako aise seriously lazima unyegeke tuu, then anamalizia kwenye masikio then anakuulizia vipi Una- Enjoy?

Huwa wanamikono lainiiiiiii hatari sana akikushika lazima utoe pesa tuu hata 30,000/= walahi. Kuna Barbershop hapo Sinza nilienda nikanyoa fresh baada ya kumaliza kuna huyo Sister akaniuliza unahitaji scrub? Nikakubali akasema twende ndani nimekaa tu kwenye kiti anarembua hatari, kanisugua masikioni, shingoni, akaniambia nitoe shati litachafuka daah nikatoa basi kanisuguaa hadi kifuani huku mmmmh nikaanza kama kusahau shida, baada ya hapo ananiuliza do u need extra service plz ni nzuri nitakuonesha aisee nilimpa pesa nikakurupuka ndukiii kubwa.

Nawaonea huruma wanawake waliiolewa wanaibiwa sana duuuh jifunzeni kuwafanyia scrub waume zenu nyumbani mnaibiwaa sana huku..
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad