Watanzania Waliokwama Afrika Kusini Wazidi Kurejea Nchini...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Watanzania kutoka Cape Town wamewasili Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini katika Mji wa Pretoria,kwaajili ya taratibu zingine za safari ili kurejea Tanzania.

Watanzania hao watajiunga na wenzao kutoka sehemu mbali mbali za Afrika ya Kusini kurejea Tanzania kwa ndege ya Precision Air leo saa 7 mchana na kuwasili jijini Dar es Salaam saa 11 jioni.

Safari hii ni ya Bure na imeandaliwa na Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini wakishirikiana na IOM(international Organisation for Migration) Bila kusahau TAC na TACOSA.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad