‘Nina Uhakakika Hamna Mwanaume Anaweza Kuishi na Esma’ Aliyekuwa Mumewe Esma Asema

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wiki moja baada ya dada yake staa wa bongo Diamond Platnumz Esma kufunga pingu za maisha na mumewe Yayaha Msizwa, aliyekuwa mume wake bado hajaamini kuwa amempoteza kabisa.

Aliyekuwa mume wake amejitokeza na kusema kuwa hamna mwanamume yeyote anayeweza kuishi na Esma kwa ajili ya wivu na kiburi chake.

Kulingana na Petit, Esma hawezi kuwa au kuishi na mume mwingine isipokuwa yeye tu.

“Nina Uhakika kuwa hamna mwanamume mwingine isipokuwa mimi anaweza kuishi na Esma, sidhani kama kuna mtu yeyote anaweza kuvumilia kiburi na wivu wake Esma.”

Wakati wa harusi yake Esma, Diamond aliwaonya wenye wivu na  wakosoaji dhidi ya harusi hiyo na familia ya Esma.

“NAWATAKIA KHERI KWENYE NDOA YENU, NA WALE WA INSTAGRAM WANAOSEMA MTAACHANA, WABAKI WANADHALILIKA WAO SISI TUBAKI TUNACHELEA
NA SIKU NYINGINE TUPATANE SEHEMU KAMA HII KUSHEREHEKEA MIAKA INAVYOENDELEA KUSONGA.
WATU WENGI KWENYE WASAFI TUKO SINGLE KWA HIVYO MSISITE TUJUANE,TUFAHAMIANE.”

Siku hiyo ilikuwa ya kufana kwake Esma kwa maana ilikuwa hafla ya kipekee.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad