Awamu ya tano imehimarisha Diplomasia- Polepole

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi CCM Humphrey Polepole amesema ndani ya Miaka 5 chama hicho kimeweza kuwa na ngome ya kuweza kushinda Uchaguzi Mkuu wa 2020.

Akizungumza Wilayani CHATO, amesema mtaji mkubwa wa kuibuka kidedea kwenye uchaguzi uliopo mbele yao, ni hazina ya wanachama wanaofikia Milioni 17.


Kuhusu Diplomasia, Katibu wa Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole amesema Serikali ya Dkt John MAGUFULI imeweza kuimarisha uhusiano na mataifa mbalimbali.


Amesema imefanikiwa kuimarisha Diplomasia ya Uchumi na Siasa, ikiwemo kufungua Balozi kwenye nchi zingine ili kukuza ushirikiano.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad