AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imewatahadharisha wananchi juu ya ongezeko la fedha bandia, ambapo imesema wasambazaji wanatumia minada ya mifugo na mazao kubadili fedha hizo haramu. Gavana wa BoT amesema watu 10 wamefikishwa mahakamani kujibu mashitaka yanayohusiana na noti bandia. https://t.co/e7nAWJCYks
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK