Benki Kuu Yataadharisha Kuuza Fedha Bandia.....Kumi Wanaswa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imewatahadharisha wananchi juu ya ongezeko la fedha bandia, ambapo imesema wasambazaji wanatumia minada ya mifugo na mazao kubadili fedha hizo haramu. Gavana wa BoT amesema watu 10 wamefikishwa mahakamani kujibu mashitaka yanayohusiana na noti bandia. https://t.co/e7nAWJCYks
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad