Nafikiria kuandika kitabu, Nafikiria kuelezea Mapito na Magumu- Shilole

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na mjasiriamali Shilole amekuja na wazo la kuandika kitabu kitakachosimulia maisha yake hadi hapo alipofikia. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Shishi ame share wazo hili kwa kusema kuwa:-

Nafikiria Kuandika kitabu, Nafikiria kuacha alama, Nafikiria kuelezea Mapito na Magumu yaliyonijenga leo hii kuwa Shishi !! Haikuwa Rahisi hata kidogo lakini pia Hakuna Gumu unapoamua kuto kukata tamaa, Kuweka Juhudi, Kumumuweka Mungu Mbele na Kuzikimbiza ndoto zako.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad