TFF yafunguka sababu ya kuomba CV za makocha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Shirikisho la mpira wa miguu ya nchini Tanzania TFF, limetolea ufafanuzi juu ya agizo la Vilabu vyote kuwasilisha wasifu wa makocha wake kwa mkurugenzi wa Ufundi wa TFF.

TFF Ilitoa agizo hilo jana kuwa Vilabu viwasilishe vyeti na wasifu wa makocha wao kwa mkurugenzi wa ufundi,Oscar Milambo na mwisho ni setmeba 15 mwaka huu.


Alipoulizwa kwa nini agizo hilo limetolewa wakati ligi imeshaanza ,Mkurugenzi wa Ufundi wa TFF, Oscar Milambo amesema inawezekana tamko hilo lakini ni suala la msingi ni kutaa kuhakikisha makocha wanakidhi vigezo vilivyowekwa.


Milambo amesisitiza kwamba vipo vilabu ambavyo bado havijawasilisha wasifu ingawa ni utaratibu ambao upo kila msimu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad