Wasanii Waliovishwa Kofia na JPM Hadi Sasa, Hawa Hapa…

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MGOMBEA urais kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli ameendelea na utaratibu wa kuwavisha kofia wasanii wanaotumbuiza kwenye kampeni za chama hicho.


Leo ilikuwa ni zamu ya msanii wa Singeli, Meja Kunta na Snura Mushi ambao wamevishwa katika kampeni zilizofanyika Urambo mkoani Tabora.

Wasanii wengine ambao tayari wamevishwa kofia na rais ni Diamond Platnumz, Harmonize,  Alikiba, Kala Jeremiah, Mrisho Mpoto na Stamina.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad