AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MGOMBEA urais kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli ameendelea na utaratibu wa kuwavisha kofia wasanii wanaotumbuiza kwenye kampeni za chama hicho.
Leo ilikuwa ni zamu ya msanii wa Singeli, Meja Kunta na Snura Mushi ambao wamevishwa katika kampeni zilizofanyika Urambo mkoani Tabora.
Wasanii wengine ambao tayari wamevishwa kofia na rais ni Diamond Platnumz, Harmonize, Alikiba, Kala Jeremiah, Mrisho Mpoto na Stamina.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK