Watu 23 Wamefariki Lori la Mafuta Likitekea Kwa Moto (VIDEO)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Nchini Nigeria, watu 23 wamefariki Dunia, baada ya gari lilil
obeba tenki la mafuta kuanguka na kuwaka moto katika Jiji la Lukoja Jimbo la Koji.


Rais wa nchi hiyo Muhammadu Buhari amesema watu hao ni pamoja na wanafunzi kadhaa ambao walikuwa katika eneo hilo.


“Tume ya Usalama Barabarani,  imethibitisha kutokea kwa ajali hiyo, nina wasiwasi mkubwa juu ya mzunguko wa majanga haya mabaya ambayo husababisha vifo visivyo vya lazima”


Aliongeza kuwa chanzo cha ajali hiyo ni baada ya gari hilo kushindwa kukamata ‘breaki’na kuanguka likiwa katika barabara ya Lukoja kuelekea Abuja.


VIDEO:


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad