Zitto Kabwe Adai ACT Wazalendo Ipo Tayari Kushirikiana na Chadema...Hatma ya Bernard Membe Bado Haijulikani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema chama chake kipo tayari kushirikiana na CHADEMA kwa kuungana kwa wagombea wanaokubalika kwenye majimbo

Alitoa ufafanuzi baada Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu, kuomba kuachiwa kugombea Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwa wao wamemuachia Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo-Zanzibar, kwa kuwa ndiye anayekubalika

Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo, Bernard Membe, bado hajaongea chochote kuhusu hilo hata alipotafutwa kwa simu alikuwa hapatikani na alivyotumiwa ujumbe mfupi kupitia WhatsApp hakujibu

Aidha, Septemba 8 Membe aliandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa hatajiondoa kwenye kinyang’anyiro cha Urais, na kuahidi kuja na kimbunga kuanzia Septemba 15
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad