AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa muziki wa bongo Fleva kutoka Lebo ya @wcb_wasafi iliyopo chini ya @diamondplatnumz @officialzuchu ameeleza furaha yake ya kukutana na Rais Magufuli na kueleza kuwa Rais Magufuli amemfanya thamani yake ipande.
Ameongeza kuwa baada ya kuomba kupiga nae picha hakuamini hadi pale alipompa mkono na yeye alikuwa analia tu Rais akamwambia usile njoo tupige picha na baada ya hapo alimpa pesa.
Mbali na hilo @officialzuchu ameeleza alivyopata wazo la kutunga wimbo wa TANZANIA YA SASA ambao unapongeza juhudi za Rais Magufuli.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK