Zuchu: Thamani yangu ilipanda baada ya kukutana na Rais Magufuli, Nililia sana akanitunza hela

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Msanii wa muziki wa bongo Fleva kutoka Lebo ya @wcb_wasafi iliyopo chini ya @diamondplatnumz @officialzuchu ameeleza furaha yake ya kukutana na Rais Magufuli na kueleza kuwa Rais Magufuli amemfanya thamani yake ipande.

 

Ameongeza kuwa baada ya kuomba kupiga nae picha hakuamini hadi pale alipompa mkono na yeye alikuwa analia tu Rais akamwambia usile njoo tupige picha na baada ya hapo alimpa pesa.


Mbali na hilo @officialzuchu ameeleza alivyopata wazo la kutunga wimbo wa TANZANIA YA SASA ambao unapongeza juhudi za Rais Magufuli.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad