Dkt. Magufuli awaomba radhi watu wa mwanga kwa kuchelewesha mradi wa maji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mgombea Urais kupitia CCM, Dkt John Magufuli ambaye pia ni Rais anayemaliza muhula wa kwanza amesema hakuzaliwa Rais bali Urais amepewa na wananchi ambao kwa nguvu zao wamefanikisha kukamilika miradi mbalimbali Mkoani #Kilimanjaro


Pia, amewaomba radhi Wananchi wa Mwanga, Same na Korogwe kutokana na kutokamilika kwa mradi wa maji unaohusisha Mwanga-Same-Korogwe ambao ulitakiwa kukamilika mwaka 2017


Dkt. Magufuli ameahidi kusimamia mradi huo yeye mwenyewe kwasababu alikuwa Waziri wa Ujenzi hivyo anajua kuwashughulisha Makandarasi

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad