Hai: Mbowe Aangushwa Katika Ubunge na Saashisha Mafuwe wa CCM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Hai amemtangaza Saashisha Mafuwe wa CCM kuwa Mshindi wa Ubunge Jimbo hilo kwa kupata kura 89,786

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo, Freeman Mbowe (CHADEMA) amepata kura 27,684 katika nafasi ya 2. Mbaruku Mhina (ACT) mwenye kura 315 ameshika nafasi ya 3.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad