AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Hai amemtangaza Saashisha Mafuwe wa CCM kuwa Mshindi wa Ubunge Jimbo hilo kwa kupata kura 89,786
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo, Freeman Mbowe (CHADEMA) amepata kura 27,684 katika nafasi ya 2. Mbaruku Mhina (ACT) mwenye kura 315 ameshika nafasi ya 3.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK