Rais Magufuli Amkabidhi Nyumba Rais Mstaafu Mwinyi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli leo Oktoba 18, 2020 amemkabidhi Rais mstaafu wa Awamu ya Pili Mhe. Ali Hassan Mwinyi Nyumba maalumu iliyojengwa na serekali kwa mujibu wa Sheria namba 3 ya Mwaka 1999 inayo ainisha ujenzi wa Nyumba maalumu kwa ajili ya marais Mara wanapo Staafu. Hafla hiyo ya makabidhiano imefanyika Jijini Dar es Salaam leo tarehe 18 Oktoba 2020





Rais  Magufuli akiwa katika Picha ya Pamoja wakionesha alama ya kufurahi na Mhe Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi na Mama.Sitti Mwinyi. Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam , Mhe. Aboubakar Kunenge , na Brigedia jenerali Rajabu Mabele Mkuu wa SUMA JKT , Jijini Dar es Salaam leo tarehe 18 Oktoba 2020

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad