AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shilole kwa mara ya kwanza amezungumzia ishu yake na mpiga picha wake baada ya kuonekana wakila Bata peke yao huku zikiwepo taarifa kuwa wawili hawa wana toka kimapenzi ambapo Shishi amesema
“Kuna mtu anayeumia kwani..? Bata anakula mtu yeyote, tatizo watanzania wanapenda kuunganisha matukio, hatuna lolote linaloendelea sisi tupo kazini ni Picha tu, Mpiga Picha wangu Nampenda, Yupo vizuri kila Sekta” – Shilole
Bonyeza PLAY kumsikia akifunguka zaidi
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK