Ethiopia: Wanajeshi wameanza kushambulia mji wa Mekelle - TPLF

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Viongozi wa serikali ya jimbo la Tigray la Kaskazini mwa Ethiopia, wamenukuliwa wakisema kwama vikosi vya serikali kuu, inayoongozwa na Waziri mkuu Abiy Ahmed, Jumamosi vilianza mashambulizi ya kutaka kuuteka na kuudhibiti mji mkuu wa jimbo hilo Mekelle.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad