FBI kuchunguza ujumbe unaotumiwa wapiga kura

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Idara kuu ya upelelezi ya Marekani (FBI), imeanzisha uchunguzi juu ya ujumbe unaotumwa na kuwapigia simu wananchi waliopiga kura kwa kuwaambia "kaeni salama, mubaki nyumbani".

Kiongozi mmoja kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani ya Marekani alitoa maelezo na kuarifu kuanzisha kwa uchunguzi huo na FBI kwa kuwa ujumbe uliotumwa ulilenga kuwazuia wananchi kushiriki zoezi la upigaji kura kutokana na kuwahimiza wakae salama majumbani mwao.  


Kiongozi huyo aliongezea kusema kuwa hali kama hiyo huweza kutokea kila kipindi cha uchaguzi na kutoa wito kwa wapiga kura wazingatie utulivu.


FBI inaarifiwa kuendeleza shughuli yao ya uchunguzi juu ya suala hilo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad