Hivi Ndivyo Tajiri Ginimbi Alivyojinunulia Jeneza Wiki Moja Kabla ya Kifo Chake na Kulificha Chumba cha SIRI Nyumbani Kwake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Kutoka Makao Makuu Ya Zimbabwe Jijini Harare Mwanamitandao ya kijamii na mfanyabiashara, Genius Ginimbi Kadungure ambaye alikufa katika ajali ya bgari Jumapili alikuwa ameripotiwa kununua jeneza lake wiki moja kabla ya kifo chake. Kulingana na majukwaa ya habari ya Pindula, inadaiwa kuwa jeneza hilo lilipatikana katika moja ya vyumba vyake vya kulala kufuatia kifo chake jana


Genius “Ginimbi” Kadungure, aliyekufa papo hapo kando ya Liberation Legacy Way jijini Harare, ambayo kwa kawaida inajulikana na wengi kama Barabara ya Borrowdale, wakati gari lake aina ya Rolls Royce lililokuwa likienda kwa kasi liligongana uso kwa uso na Honda Fit, alitoka barabarani na kugonga mti kabla ya kuambukizwa moto, alikuwa na wageni wawili ambao walikuwa wanatoka katka birthday ya moana Jumamosi usiku.

UKWELI KUHUSU KIFO CHA GINIMBI

Baada ya ajali na gari kushika moto ginimbi alifanikiwa kutoka nje ya gari, alichofanya ni kuangaika kuwafungulia milango rafiki zake wakati milango ya rolls royce ilikua imejilock basi ndipo mlipuko ukatokea na yeye akiwapo pale anaangaika kuwafungulia milango akina maona

R.I.P GINIMBI

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad