Kaka wa Rapa 21 Savage Ameuawa kwa Kuchomwa Kisu Mjini London

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kaka wa rapa 21 Savage ameuawa kwa kuchomwa kisu mjini London. Terrell Davis mwenye umri wa miaka 27 alichomwa kisu hadi kufa kufuatia majibizano na rafiki yake juzi Jumapili (November 22) umeripoti mtandao Daily Mail.

21 Savage amethibitisha taarifa hizo kwa kuandika kwenye ukurasa wake wa Instagram, "Nashindwa kuamini kama kuna mtu amechukua uhai wako Kaka yangu, najua nimechukua hasira zako natamani ningerudisha muda." aliandika 21 Savage.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad