Konde Gang walivyojimaliza kwenye Ushamba Party

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Ni 'updates' za wasanii kutoka lebo ya Konde Gang Music chini ya msanii Harmonize ambapo usiku wa kuamkia leo walifanya sherehe fupi waliyoipa jina la 'ushamba party' ambayo ilifanyika kwenye makao makuu ya lebo hiyo.

Party hiyo ilifanyika kwa ajili ya kuukaribisha mwezi wa 11 na walitokelezea kwa kuvaa nguo ya 'style' ya kizamani ambayo kwa sasa inaonekana ya kishamba kama ukiivaa.


Kwa mujibu wa msanii Country Boy ambaye yupo katika lebo hiyo amesema kuwa "Ni unyamwezi na fashion flani hivi ya kizamani ila ya kishamba kwa wakati huu wa kisasa lakini inapendeza zaidi" 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad