Magufuli "Tunahitaji Mabilionea Wengi wa Kitanzania"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


"Tunataka mtu yeyote anayetaka kuwekeza asisumbuliwe....Watanzania ni matajiri lakini baadhi yao wanaogopa kuwekeza hapa nchini wakiogopa kusumbuliwa kwa maswali yasiyo na msingi. Tunahitaji mabilionea wengi wa Kitanzania." Ni sehemu ya hotuba ya Rais Dkt Magufuli akizindua #BungeLa12.


Rais amesisitiza kwamba katika kipindi miaka 5 ijayo Serikali yake itaongeza jitihada za kukuza uchumi, kupambana na umaskini na kuongeza ajira. Amesema Serikali itazalisha ajira 8,000,000.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad