Ni muda wa Afrika, Mchekeshaji Trevor Noah Toka Nchini Afrika Kusini Alamba Shavu Tuzo za Grammy

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ni muda wa Afrika, Mchekeshaji Trevor Noah toka nchini Afrika Kusini ametajwa kuwa mshereheshaji (Host) kwenye tuzo za Grammy.

Trevor Noah ambaye anaendesha kipindi maarufu cha 'The Daily Show' alitangazwa na Recording Academy usiku wa kuamkia leo wakati pia vipengele 83 vya tuzo hizo vikianikwa wazi. Hii itakuwa mara ya kwanza kwa Noah kupata nafasi hiyo adhimu, tuzo za Grammy zitafanyika Januari 31, 2021.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad