Nigeria..Boko Haram Wawachinja Wakulima 43

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Wakulima 43 wa Jimbo la Borno, Nchini #Nigeria wamechinjwa katika mashamba ya mpunga yaliyopo Zabarmari na Kikundi cha Boko Haram


Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari kupitia Ukurasa wake wa Twitter ameonesha kusikitishwa na kitendo hicho, pia amelaani mauaji hayo. Amesema kuwa, Serikali ya Nigeria imefanya yote yanayowezekana kulinda nchi hiyo na watu wake.


Aidha, Shirika la Kimataifa Linalohusika na Haki za Binaadamu, Amnesty International limelaani kitendo hicho

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad