Rapa Lil Wayne Huenda Akafungwa Jela Miaka 10, Kisa Kizima Hichi Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Rapa Lil Wayne afunguliwa mashtaka ya kumiliki silaha yenye risasi, ambalo ni kosa la jinai. Kama akikutwa na hatia ya kosa hilo, Weezy huwenda akahukumiwa kifungo cha miaka 10 gerezani.


Shtaka hilo limefunguliwa kwenye Mahakama ya wilaya mjini Florida likimtaja Dwayne Michael Carter Jr, maarufu Lil Wayne akituhumiwa kukutwa na silaha yenye risasi kwenye begi akiwa kwenye ndege yake binafsi, Disemba mwaka jana.


Disemba 11 mwaka huu ndio itakuwa siku ya kwanza kwa Lil Wayne kuhudhuria mahakamani, ikumbukwe pia Wayne ana tuhuma za kumiliki silaha kinyume cha sheria mwaka 2009 mjini New York.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad