Zuchu wa WCB Alamba Mamilioni ya Pesa Baada ya Kupata Ubalozi Mpya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


 Ikiwa ni siku chache tu tangu atangazwe kuwa Balozi wa vipodozi wa tridea, mrembo kutoka WCB @officialzuchu mapema leo amelamba dili la kuwa balozi wa Rasta aina ya Darling Hair.

Ikiwa ni miezi Saba tu! tangu atambulishwe kwenye soko la muziki msanii huyo ameanza kupata shows kubwa mbalimbali, kuandaa event zake, kuzindua EP yake, kuwa balozi, kupata Tuzo na pia kufanya kolabo na wasanii wa kubwa nje na Ndani ya Bongo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad