AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shirika la Chakula Duniani (WFP) limesema Watu milioni 1.5 Kusini mwa #Madagascar wanahitaji msaada wa dharura wa chakula
Hali hiyo imetokana na kipindi cha kiangazi ambacho kimeathiri Mazao yanayotegemewa nchini humo kiasi cha Watu kula mchanga uliochanganywa na Ukwaju
Wananchi wamesema hawatafuti tena chakula bali wanatafuta mbinu ya kupata chochote cha kushikilia tumbo
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK