Balaa la Njaa....Watu Milioni 1.5 Wanakula Mchanga Uliochanganywa na Ukwaju

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Shirika la Chakula Duniani (WFP) limesema Watu milioni 1.5 Kusini mwa #Madagascar wanahitaji msaada wa dharura wa chakula


Hali hiyo imetokana na kipindi cha kiangazi ambacho kimeathiri Mazao yanayotegemewa nchini humo kiasi cha Watu kula mchanga uliochanganywa na Ukwaju


Wananchi wamesema hawatafuti tena chakula bali wanatafuta mbinu ya kupata chochote cha kushikilia tumbo


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad