Hii ndio Ndege ya abiria inayosafiri kwa haraka zaidi kuliko sauti

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Karibia miongo miwili baadaye ulimwengu unakaribia kuwa na ndege ya abiria inayoweza kusafiri kwa kasi zaidi ya kasi ya sauti.


Mwezi Huu , kampuni ya ndege ya Boom Supersonic ilianza kufanyia majaribio ndege yake aina ya XB-1 Supersonic.
Ndio ndege ya kwanza aina ya Supersonic ya raia tangu ndege ya Urusi ya Tupolev TU -144 mwaka 1968. Ndege hiyo nyembamba itajaribiwa.
Inatarajiwa kubeba kati ya abiria 65 na 88 kupitia njia za anga ya bahari. Shirika la Nasa lina ndege za kushangaza zaidi zenye mabawa madogo.
Hii itapaa mnamo 2022, ikifuatilia tuzo ya ndege endelevu zaidi.
Pia kuna kamapuni ya kutengeneza ndege ya Aerion, inayosema kwamba aina yake ya ndege itatoa ndege yenye kasi zaidi kufikia mwisho wa muongo huu.
Lakini ikiwa na uwezo wa kubeba kati ya abiria 8 hadi 10 ndege hiyo ya AS2 inalenga soko tofauti ya baishara ya usafiri wa anga za juu .

Mike Bannister aliendesha ndege ya mwisho ya Concorde ya kmapuni ya ndege ya British Airways
Bwana Bannister anasema kwamba ni muhimu kuelewa kwamba ndege hizo hazina upinzani bali ujio mpya katika sekta tofauti ya biashara ya usafiri wa ndege.
Shida moja ya uhandisi ambayo ndege hizi zote zinapaswa kukabiliana nayo ni jinsi zitakavyoingiza hewa katika injini kwa kasi kubwa.
Kuvuta hewa kwa kasi ya hali ya juu kunasababisha matatizo kwa injini zote za ndege.
Uingizaji huo umebuniwa ili kuvunja utiririshaji huo wa hewa na kuipunguza kasi ambayo injini inaweza kukabiliana nayo.
Ni eneo nyeti sana, ambalo hata lilisababisha mgogoro wa England na -Ufaransa wakati wa Concorde.
Kampuni ya ndege ya Air France ilisitisha usafiri wa ndege zake , lakini kampuni ya ndege ya Britrish Airways iliendelea na safari zake.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad